Kuhusu
Tuzo kwa Mahakama inaahidi kutoa tuzo ya hadi dola milioni tano kwa taarifa zitakazowezesha kupatikana, kuokolewa na kurejeshwa salama kwa raia wa Marekani Abdulbari al-Kotf.
Al-Kotf alichukuliwa kutoka nyumbani kwake mjini Sana’a, nchini Yemeni mwishoni mwa mwezi Agosti, mwaka 2018. Wakati wa kutoweka kwake, alikuwa mfanyakazi wa kampuni ya Sam Ban Noah of America Organization.
